MANJI anajenga "human shield"?

...Umemaliza, lakini hapo kwenye umbumbumbu ungeongeza pia na NJAA zetu!! Si unamkumbuka marehemu Gulamali. Alfikia hatua ya kutaka kadi za Yanga ziwe na Picha yake na baadhi ya wanachama kwa kuendekeza njaa wakawa tayari kupigana ili hili likubaliwe! likakwama tu kutokana na ujasiri wa mtu mmoja kwa jina la George 'Castro' Mpondela ambaye baaadae wenye njaa zao wakafanikiwa kumuondoa madarakani kama walivyofanikiwa kumuondoa Amani Mahugila Madega.


Ingawaje baadae 'shujaa' huyu ndiye aliyekuja kuwa kinara wa kiupinga mabadiliko ndani ya yanga na hasa uanzishwaji wa kampuni na hivi tunavyoongea yeye ni miongoni mwa watu wanaolamba miguu ya Manji.
 
Hilo mbona liko wazi! Ila wapenzi wa Yanga hasa wale wazee hawataki kulielewa hilo

Wale wazee kinacho wasumbua ni njaa, kumbuka toka akina Mzimba walikuwa hawataki Yanga kampuni, lakini Manji alipowahakikishia ulaji bila kutegemea matao ya milangoni, siwasikii tena. Njaa za wazee wa Yanga zinawafanya wasiwaze nje ya box.
 
wabongo bwana kila siku ni maneno tu, Manji amefanya mangapi mabaya na pesa ngapi ameiba?nini kimefanyika? Hawa jamaa wataendelea kula hela ya watanzania na wataongeza dharau kwa watanzania. Siku zote mhindi na mwarabu anamuona mwafrica ni **** na ni mwoga. Ukweli ni kwamba hela wameshaiba nyingi sana na mtabaki mnapigia kelele mtandaoni. Mfanyabiashara mzawa ni Reginald Mengi tena na yeye ni kibaraka wa wadosi, waliobaki wote ni wageni.
 
swala la ushabiki wa simba na yanga ni sumu mbaya kwa watz inayowafanya kutoona mbali na kukaa wakiongea na kufikiria mambo yaleyale yasiyona na mabadiliko wala maendeleo yoyote. Manji anajua watz ni wafivu kufikiri na anajua fucus yao ipo kwa simba na yanga hivyo anajikinga kwa kutumia ujinga,njaa, ufivu wa kufikiri na mgongo wa udini kufanikisha ufisadi wake!
Mbaya zaidi kama walivyomafisadi wenzake ni watu wameishateka, kupuvusha na kuzoofisha nguvu ya serikali, mahakama na sasa bunge letu. Kesi anayomshitaki Mengi kwa kumuita fisadi papa inadhihirisha jeuri hayo na jeuri aliyonayo!!

kilichobaki ni wananchi kujipanga na kuchukua maamuzi zidi yake bila ya kutegemea serikali iliyopo wala mahakama!! hata ikitokea anapita angalau gari lake likapondwa na mawe message itakuwa imefika kwake na kwa mafisadi na kwa wahindi wenzake!



kiukweli Tunatakiwa ku Act haraka. katka Quran tukufu kuna mistari inasema...."ukiona kitu kinakuudhi, kiondoe kwa mkono wako, ukishindwa hilo kemea kwa mdomo wako, na hilo likishindwa basi NUNA uonyeshe umekeleka na hilo jambo"
Tunahiotaji kuanza na mawe kiukweli..ngoja leo akipita hapa mitaa yetu nitaanza kuonyesha mfano.
 
Manji kama walivyo wahindi wenzake wooote hapa TANZANIA wamefanya hii nchi kama tambala kwa kutumia njaa ya watu wetu na umbumbumbu wetu, lakini nawambia siku inakuja ambayo watalia na kusaga meno na hilo halina shaka hata kidg.
Amen.
 
Nadhani yanga sasa inapashwa kujipanga na kujiendeleza yenyewe bila manji.. Hawa waasia siyo watu wazuri hawezi mtu kutoa mamilioni yake bila kuwa na sababu za msingi...

Yanga tumwondoe manji na tujipange vizuri kuendeleza klabu na siyo kula hela na ufisadi kama madega na issue ya ngasa..
Manji kandoka vipi umesaidia timu kujipangaje ***** mnakela sana nyie ada za uanachama hamtoi mnataka timu ijiendeshe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom