Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
- Thread starter
- #101
Labda Mengi hatokuwa na haja ya kuita mashahidi...Je Mahakama ya Tanzania katika kufuata sheria za Tanzania kwenye kesi ya Madai (kama hii ya Manji Vs. Mengi) inaweza:
a. Kuita ushahidi
b. Kuita mashahidi
c. Ku compel both of them?