Yusuf Manji amshitaki Reginald Mengi, adai fidia Sh1/-

Du makubwa inamaana uharibifu aliofanyia pamoja na heshima yake kwenye jamii plus reputation ya makampuni anayoyaongoza gharama yake ni shilingi moja. Sikutegemea kama anaweza kuwa hana thamani kiasi hicho sasa naamini kuwa ufisadi unamshusha mtu thamani ya utu wake.

Kaamua kutumia haki yake ya kisheria kuomba nominal damages - haina maana kuwa shilingi moja ndiyo thamani yake, bali anachotaka ni kusafishwa jina lake analoona Mengi kalichafua kupitia vyombo vyake vya habari.
 
Kaamua kutumia haki yake y akisheria kuomba nominal damages - haina maana kuwa shilingi moja ndiyo thamani yake , bali anachotaka ni kusafishwa jina lake analoona Mengi kalichafua kupitia vyombo vyake vya habari.

It make some sense!!

Na asiposafishwa ata advance. Hapo ndipo atasema anashitaki nini Kwa sababu so far hapa Mengi hawezi kutoa ushahidi wowote alionao.
 
This was 100% expected. Lakini Manji wajiangalie isije kuwa sasa wanaingia kwenye 18 za Reg.
 
Kaamua kutumia haki yake y akisheria kuomba nominal damages - haina maana kuwa shilingi moja ndiyo thamani yake , bali anachotaka ni kusafishwa jina lake analoona Mengi kalichafua kupitia vyombo vyake vya habari.

Kwa kuwa mimi sio learned fellow hiyo ndio ilikuwa tafsiri yangu na nadhani itakuwa ya watu wengi zaidi. Naomba nisaidie hivi hizi gharama tunazozisikia huwa haziangalii uharibifu uliotokana na kashfa yenyewe? Kwa mfano iwapo aliyekashfiwa ni mfanyabiashara na pia anaheshima fulani katika jamii fidia yake haiangalii hili pia. Hivi ni kweli unaamini Manji anataka kutumia haki yake ya kisheria tu na si kunakubwa zaidi analotaka kutuambia kupitia kesi hii? Hii haki ya kisheria kuna wakati watu huitumia vibaya japo hawavunji sheria(mifano kibao ipo)
 
Wakuu ni shilingi moja(sh.1/-) au mleta mada kakosea???

Ni shilingi moja kiukwelii na amesema amedai fidia ndogo kwa kuwa anatanguliza heshima yake zaidi ya pesa. Pia ameitaka ITV imuombe radhi katika kipindi maalumu kwa siku saba mfululizo.
 
Kwa kuwa mimi sio learned fellow hiyo ndio ilikuwa tafsiri yangu na nadhani itakuwa ya watu wengi zaidi. Naomba nisaidie hivi hizi gharama tunazozisikia huwa haziangalii uharibifu uliotokana na kashfa yenyewe? Kwa mfano iwapo aliyekashfiwa ni mfanyabiashara na pia anaheshima fulani katika jamii fidia yake haiangalii hili pia. Hivi ni kweli unaamini Manji anataka kutumia haki yake ya kisheria tu na si kunakubwa zaidi analotaka kutuambia kupitia kesi hii? Hii haki ya kisheria kuna wakati watu huitumia vibaya japo hawavunji sheria(mifano kibao ipo)
Mkuu,
Nitajaribu kukujibu kama ifuatavyo:
1.Kwenye gharama au viwango - mdai hawezi kulazimishwa kupewa asichoomba.Yeye kaomba kiwango hicho japo anayo haki ya kudai kikubwa zaidi na ukubwa utaamuliwa kufuatana/kulingana na " thamani" yake au hasara atakayoweza kuipata kwa kukashifiwa au kuchafuliwa.( kwa kifupi sana)
2.Kwamba naamini au siamini iwapo Manji anatumia haki yake kisheria au ana lake jambo - I reserve my comments on this one.
Asante!
 
Hawa wahindi wana akili za kwiba tu lakini kwa haki lilahi ni wajinga, kwasababu Mengi amewatega and they have taken the bait of going to court and now they are going to play according to Mengi's script!

Patamu sana hapo; inanikumbusha ile kesi ya Kubenea na Wachovu wa CCm waliomshtaki kuwa aliwakashifu kwa kuandika kuwa walikuwa na conspire kumuondoa Jakaya madarakani!! Sijui ile kesi ya wale wazee imeishia wapi?

Rostam hana ubavu wa kwenda mahakamani ,angekuwa nao basi angempeleka Slaa baada ya Mwembeyanga.
 
Serikali inataka kumkamata Mengi na kumuuliza nyaraka za serikali umzitolea wapi wakati Mengi akiwa anatoa ushahidi
 
CHUKUENI HIYO WANAJAMII TU-BRAIN-STORM
 
Ni serious Mkuu. Anadai Sh 1/-. nadhani lengo lake ni kutaka kumuonyesha Mengi kuwa tatizo lake si fedha
hii habari ina mapungufu au si ya kweli....labda bil. na mahakama ya Kisutu haina nguvu kisheria (pecuniary jurisdiction) kusikiliza kesi yenye kiasi hicho cha hela
 
Hapa ni patamu sasa, hatimaye kilio cha wana JF kuwa mafisadi watangulie mahakamani ili ushahidi utolewe hatimaye majibu yamepatiakana, kinachotakiwa si mawazo kama ya Mpita Njia eti "Better wapi Mkuu... hivi ni vita vya mafahari, sisi nyasi tutaendelea kuumia tu" inabidi tuyatafakari kwa ukaribu.

Je ni kweli kuwa hivi ni vita visivyotuhusu sisi wapiganaji dhidi ya ufisadi na mafisadi? Mimi naamini mengi yatajulikana huko huko mahakamani, manake hata mzee Slaa alitamani mno hili litokee katika ile orodha yake ya mafisadi lakini halikutokea, madamu limetokea sasa yote yana mwisho.
 
Manji amekuwa hakimu kutoa hukumu hiyo??? Au ukienda mahakamani kushitaki unaweza kuamua ni hukumu ipi itolewe??? Najua unaweza kudai fidia ukiithamanisha a utu wako...lakini suala la kuombwa radhi iwe radionio.....kwenye TV au ukumbi wa disco....hilo haliko mikononi mwa mshitaki....ni vizuri huyo Manji akatumia mali zake kujielimisha.....
 
Manji amekuwa hakimu kutoa hukumu hiyo??? Au ukienda mahakamani kushitaki unaweza kuamua ni hukumu ipi itolewe??? Najua unaweza kudai fidia ukiithamanisha a utu wako...lakini suala la kuombwa radhi iwe radionio.....kwenye TV au ukumbi wa disco....hilo haliko mikononi mwa mshitaki....ni vizuri huyo Manji akatumia mali zake kujielimisha.....
Ameiomba mahakama itoe amri hiyo (ya kuombwa radhi) si kwamba yeye ametoa hukumu
 
Back
Top Bottom