<br />Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie. <br />
<br />
Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.
Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.
Thank you,unafiki wa hali ya juu, thread kama hivi wanazipita kimya kimya kwa aibuKudeal na ufisadi Tanzania ni zaidi ya kupita kwenye tundu la sindano. Ukisoma hii thread utaona unafiki wa kiwango cha kutisha cha the so called waTanzania wazalendo!
Wako ambao hawasahau...!Jf idumu milele inaonyesha watanzania tunaongoza kwa unafiki na wepesi sana kusahau
Tatizo lako ni elimu tu. Ni mahaka gani imemtia hatiani?Siamini kuna mtanzania yoyote mwenye kumtetea Manji katika hili; labda iwe ni wakili aliyelipwa kufanya hivyo. Kwa maana hiyo basi, kwa namna unavyomtetea huyu jamaa, hata akinya utadaka kinyesi chake na kusema kinatoa harufu ya manukato.......
Mbowe na lowassa wameagiza Manji atetewe kwa haya yote,kwani anaonewa na JPM.Kwani Manji yupo humu?