Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
Lakini mkuu, hii kitu haijawa - signed, sio umeingizwa chaka?
Hili neno mkuu...!
Lakini mkuu, hii kitu haijawa - signed, sio umeingizwa chaka?
Aaaah Bossi, vipi tena mkuu??? Active members zaidi ya 15,000 kati ya members 47,000 tushindwe kuzipelekesha hizi thread sambamba??!!
Unaogopa sauti za "man on, man on" uwanjani, utaweza kweli kubutua mpira walau nje ya goli??!! lol
To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.
tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?
?
mkuu
actually nilichotaka tutumie nguvu pia kujadili wizi wake unaondelea now
sisemi tusijadili kabisa ya kagoda..
yuko behind karibu kila kitu cha dili za halmashauri ya jiji
why?kwa sababu kawachagua yeye hao madiwani na meya wao...
umenipata?
Well,
Barua haiko signed basi ni CHAKA... Umeangalia tarehe za registration ya Kagoda na ukaangalia makubaliano ya mkopo toka Kagoda kwenda Quality Finance? Do you see my concern? Wala mi sina shida na yeye kupinga, ana haki na si vema kuchafuliwa kama anajua yeye ni msafi. Tatizo langu ni ninapoangalia hizi TAREHE mkuu wangu
Wakuu,
Yusufu Manji katoa taarifa yake kama inavyoonekana chini hapa... Huenda vyombo vya habari nyumbani vikatumia taarifa hii lakini ieleweke kuwa haijasainiwa, tarehe za usajili Kagoda, tarehe za usajili Quality Finance na tarehe za mikopo zimejichanganya mno... You need to be smart when playing such games!
Sasa ndugu yangu Manji, hivi Kagoda na loan kipi kilitangulia? Mkopo kabla ya kampuni au kampuni kabla ya mkopo?
Hapa umejichanganya mkuu wangu, mnaweza kuangalia namna ya kuiweka sawa hii?
mkuu
actually nilichotaka tutumie nguvu pia kujadili wizi wake unaondelea now
sisemi tusijadili kabisa ya kagoda..
yuko behind karibu kila kitu cha dili za halmashauri ya jiji
why?kwa sababu kawachagua yeye hao madiwani na meya wao...
umenipata?
Itajulikana tu kama yumo au hayumo, anyway sio lazima yeye awepo anawatumwa wake wanamjulisha.
Huu mchezo wa kukanusha vitu bora kukanusha na kuweka personal attack ndani yake bila ushahidi kutawamaliza wengi.
Again kwa huu utumbo ni wazi kabisa Manji ni fisadi, ina maana anataka kusema ana ugomvi na KAGODA, kwa sababu alirudisha hiyo hela serikalini?
Ni nani huyo Kagoda anayemzungumzia Manji maana kaweka kama mzimu flani tu kwa sababu yeye anawajua awaweke hadharani anaogopa nini?
Manji hawezi kukana tuhuma za Msemakweli kirahisi hivyo; kwanza kama Msemakweli anakutishia kukulipua kisha ukampa hela ina maana alichokutishia ni cha kweli, hii ina kuhusu wewe wala usiseme ni watu.
Mwisho, uhusiano wake na KAGODA uko wazi na ameukiri sasa Msemakweli kakosea wapi? Hakuna aliyekuwa anajua kwamba Manji alikuwa ni mdhamini wa KAGODA yaani mafisadi, na kwa kutumia mwanya huo alifungua kesi kumshitaki Mengi, sasa hapa hatajibu vipi hizo tuhuma kwamba yeye sio part ya mafisadi.
Ni kwa biashara zipi za mabilioni KAGODA walimwambia wanafanya hapa nchi na yeye kuingia nao mkataba na kupokea hela bila kujua zinatoka wapi?
Mdogo wake atakuja na majibu sasa hivi. Kaeni mkao wa kula
inategemea hawako smart kwenye nini. Mbona hela wamekula?Umenikumbusha mbali mkuu... Hawa jamaa hawako smart kabisa
Anakijua sana akishikwa pabaya hata kizaramo atazungumza, wanazuga tu! Kuna GM wangu wkt napiga mzigo Oceanic Bay alikuwa anatuzuga hajui swahili! Akawa akituudhi tunatukana matusi!we utastukia anakuita ofsini umuelezee kwanini ulimtukana na mambo meengi kama hayo, wanazuga tu wanajua vizuri!manji anajua kiswahili?
wamewazoea watz wa zamani, wanadhani wa sikuhizi wanaburuzwa na kudanganywa kijingakijingaha ha ha!
Umenikumbusha mbali mkuu... Hawa jamaa hawako smart kabisa
Unless binadamu azidi kuwa zuzu lakini hii ni petroli kwenye ghala la mkaawamewazoea watz wa zamani, wanadhani wa sikuhizi wanaburuzwa na kudanganywa kijingakijinga