Mabaa ya kiti moto yalivunjwa Sinza majuzi kuna watu walikuja juu. Watu kumbe walikuwa wameinvest bila hata kujali halali wala haramu.Hivi kuna dini isiyotumia nguruwe kama kitoweo???..80% ya rafiki zangu wa kiislamu wanatumia huyu mdudu kuliko mimi