Sheria ya maswala ya nguruwe unaziheshimu ila sheria ya uchaguzi inayotaka Seif atangazwe mshindi unaidharau sana.Tazameni sheria za mifugo na wapi ifugiwe, sheria ambayo ipo toka mkoloni ndiyo mtaelewa kwanini imeamuliwa hivyo.
hawajakataza kufuga mifugo bali wamekaza kufuga kitimotoTazameni sheria za mifugo na wapi ifugiwe, sheria ambayo ipo toka mkoloni ndiyo mtaelewa kwanini imeamuliwa hivyo.