Nimekutana na huyu muheshimiwa mstaafu katibu mkuu wa ccm hapa iringa dukani ananunua mbolea ya kupandia wakati msimu wa kupanda bado. Jamani mzee kachoka vile na zile ndevu ni hatari....
Ngalangala kweli wewe ni ngalangala kama jina lako,mzee Mangula ni mkulima ambaye anajituma katika kilimo kwa hiyo usile mada ambazo hazina tija!!!!!!!!!!
RAI yangu kwa wanaJF tuanze kutoa maoni juu ya Members wote wanao misuse this privilege idea exchange wapigwe ban forever.......to maintain our credibility and dignity for the benefit of next generation!!!!!!!!!!!