kwani huyo nurse ana nini ?Nimetoka kwenye hospitali moja for CT Scan..
Nikaambiwa niingie ktk chumba kimoja hivi kwa ajili ya kupimwa..akaingia nesi mmoja yani nashkuru nimetoka salama kwakweli na hata yale maumivu niliyokua nikiskia yamepotea kabisa! mwe..hata kwa wagonjwa
mbona hujaeleza wazi amekutega nini? au ni nini umekiona kwake ukadhani amegutega? neno kutega ni pana sana jaribu kufafanua tafadhali.
alipoingia akaniambia itabd uvue nguo kisha ulale pale kitandani..nikamuuliza zote? akajibu ndio! wakati bado nashangaashangaa akaniuliza au nikuvue?
Nikamwambia sii mbaya..akasema inaonekana umechoka akashika tai yangu akatoa then shati akamalizia na vest. Akataka kuvua mkanda nikamwambia huku nitamalizia..baada ya kulala kitandani (ofcz nilibaki na bukta) kwa mshangao eti akauliza kumbe una garden love(nywele za kifuani)
Basi alifanya vituko kibao huku akinipima akauliza kama nimeoa na mengine kibao
kakushika vizuri au kavaa kimtego au kaumbika sana???let us know basi mkuu,tujue,tusitegeke....lol
Kwani huyo nesi kakufanya nini hadi maumivu yapotee?
nahisi kama aliona noma maana nilikua naonesha dalili za ukauzu...aliniambia we mit kesho coz nitakwenda kuchukua majibu niliona nitachelewa kusubiri
naona wateja wa hiyo hospitali wanaongezeka tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu.Ni hospital gani mana mi kifua kinanisumbua nataka nikafanye checkup!! niagizie
Mkubwa baada ya kusikia huduma na wewe ushaugua, ha ha haaaaaNi hospital gani mana mi kifua kinanisumbua nataka nikafanye checkup!! niagizie
Pale Dodoma General hospital, kuna medical officer mmoja yeye kazi yake baada ya kumpima/hudumia mgonjwa na kama amependa, ni kuwaomba namba za simu za wagonjwa wanawake kwa kisingizio cha kutaka kukuulizia maendeleo ya ugonjwa wako, lakini baadae anakutongoza, na ukimkataa tu anaanza kusema hata ukikataa lakini nimesha kuona mwili wako wote, hivyo ni heri unipe tu nile kuliko kuninyima kwani huna cha kuficha kwangu?:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh: