manesi automatically lazima waingie katika mgomo maana wenyewe huwa wanapewa maelekezo na madaktari...sasa bila daktari nesi atafanyaje kazi yake? kikwete analo...!
Mbona hili lilikuwa wazi kabisa! Na kama rais atatatoa hotuba sawa na ile ya mbayuwayu leo kwenye mkutano wake na wazee wa Dar basi tujiandae kuona sekta ya afya inakufa kabisa. Mpaka wapishi watagoma!
Ninasubiri jambo hili kwa hamu kubwa....manesi wagome rasmi, hata hivyo daktari akigoma automatically nesi hana njia nyingine ni kugoma....maelekezo juu ya tiba ya mgonjwa hutolewa na daktari, ripoti ya maendeleo ya mgonjwa kutoka kwa nesi hupewa daktari. Ni mgomo tu utakaorejesha muunganiko huu.
Mtoto wa mkulima kawazidi ujanja madokta kwa kupeleke ombi mahakamani na shauri kusikilzwa upande mmoja! Sijui kama hiyo ni sawa ila ndo amri imetolewa na lazima drs. Waitekeleze la watashitakiwa kwa kosa la kukaidi amri halali ya mahakama na kufungwa gerezani au kupigwa faini! Ila nadhani gvt wamepata temporary breathing space kwani tatizo liko palepale!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.