Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
umeme wetu ni wa magumashi nani yupo tayari kuingia cost za kipumbavu
umeme wetu ni wa magumashi nani yupo tayari kuingia cost za kipumbavu
Mbona tunavyanzo vingi kuliko majirani zetu, wale jamaa hawana gas wala uranium.
Amani yetu inatusaidia kuwaneemesha mafisadi na watoto wao.
Hivi definition ya AMANI ni ipi.
Hivi definition ya AMANI ni ipi.
Hivi definition ya AMANI ni ipi.
Kenya kuna mafisadi lakini wanaspare Taifa kiaina si kama sisi.
Wao atleast something is happening...
Chembe na chembe mkate huwa!
Imefikia hatuA watu wanafurahia kitendo cha Ujambazi kilichotokea Geita juzi, kisa ni kukasirishwa na ubebaji wa madini yetu ambayo yanapelekwa moja kwa moja South Africa!
Ukiwauliza kama wanajua ni kiasi gani cha madini, hupati jibu!
Siku zao ziko ukingoni!