Maneno ya kisiasa yanapopeleka mrama elimu ya tanzania

SOKON 1

JF-Expert Member
Dec 28, 2010
1,134
331
Mnamo tarehe 22-12-2010 waziri wa elimu alikuja Udom kutatua tatizo la wanafunzi kutokwenda field ila alitoa tamko kwamba TCU ipo chini yake atakwenda kuiagiza ipitishe degree zote zile ambazo hazikuenda field wanafunzi walimsikiliza uku wakiwa na matumaini ya kwenda field ila 10-6-2011 TCU walitoa tamko kwa wanafunzi wote kuwa waziri wa elimu hakusema chochote na wao kwa iyo wanachotambua ni kwamba zile degree ambazo hazitakwenda field hawana field na waandamane ila watakapo kwenda mahakamani wasisahau kitabu cha mwongozo wa masomo. Ila 12-6-2011 saa 6 usiku Prf. Kikula (VC) alikuja chuo na kuwaita wanafunzi wote wa sayansi na jamii na kuwaambia serikali imetenga Tsh 1.6 bilioni kwa kozi zote ziende field ikiwa na zile ambazo hazikuwa mwanzo ila palipokucha asubuhi 13-6-2011 katika bunge waziri wa elimu akasema serikali imetenga Tsh 326 mil kwa ajili ya wana udom kwenda field hapo kuna kutofautiana kauli kati ya VC na waziri wa elimu lakini hakuishia hapo wanaudom wakaendelea kugoma ila 14-6-2011 jioni ikaja barua kutoka wizara ya elimu ikiwataka wanafunzi warudi darasani kwani wadai yao yameshatatuliwa, kwenye iyo barua ilisema 'degree tajwa' zitakwenda field so its unknown mention degree uku ikiwa haina muhuri wala saini ndipo wanafunzi wakataharuki.

My take;
Siasa haitajiki katika maswala ya muhimu tena cha maendeleo kinacho husu maisha ya mtu kwani wana udom walichoka kudanganywa na kupewa ahadi za uwongo. So hizo ndizo sababu za wanaudom kumtaka waziri wa elimu waje chuo wasibitishe kauli yake ila alikataa kuja.

Nawasilisha
 
Mnamo tarehe 22-12-2010 waziri wa elimu alikuja Udom kutatua tatizo la wanafunzi kutokwenda field ila alitoa tamko kwamba TCU ipo chini yake atakwenda kuiagiza ipitishe degree zote zile ambazo hazikuenda field wanafunzi walimsikiliza uku wakiwa na matumaini ya kwenda field ila 10-6-2011 TCU walitoa tamko kwa wanafunzi wote kuwa waziri wa elimu hakusema chochote na wao kwa iyo wanachotambua ni kwamba zile degree ambazo hazitakwenda field hawana field na waandamane ila watakapo kwenda mahakamani wasisahau kitabu cha mwongozo wa masomo. Ila 12-6-2011 saa 6 usiku Prf. Kikula (VC) alikuja chuo na kuwaita wanafunzi wote wa sayansi na jamii na kuwaambia serikali imetenga Tsh 1.6 bilioni kwa kozi zote ziende field ikiwa na zile ambazo hazikuwa mwanzo ila palipokucha asubuhi 13-6-2011 katika bunge waziri wa elimu akasema serikali imetenga Tsh 326 mil kwa ajili ya wana udom kwenda field hapo kuna kutofautiana kauli kati ya VC na waziri wa elimu lakini hakuishia hapo wanaudom wakaendelea kugoma ila 14-6-2011 jioni ikaja barua kutoka wizara ya elimu ikiwataka wanafunzi warudi darasani kwani wadai yao yameshatatuliwa, kwenye iyo barua ilisema 'degree tajwa' zitakwenda field so its unknown mention degree uku ikiwa haina muhuri wala saini ndipo wanafunzi wakataharuki.My take;Siasa haitajiki katika maswala ya muhimu tena cha maendeleo kinacho husu maisha ya mtu kwani wana udom walichoka kudanganywa na kupewa ahadi za uwongo. So hizo ndizo sababu za wanaudom kumtaka waziri wa elimu waje chuo wasibitishe kauli yake ila alikataa kuja.Nawasilisha
Kwanza pole sana mkuu!Siasa na Elimu ni sawa na Mafuta na maji!we fikiria kuhusu shule za kata mwalimu mmoja shule nzima anafundisha masomo yote ya sayansi na ya sanaa!mende aangusha kabati!Ulishawahi kuona mtoto wa kiongozi hasa wanaoshabikia shule za kata anasoma kwenye hizo shule!maajabu!Wanasiasa wanabeza wasomi kwa sababu wanasauti ya kuwabeza wasomi,kwa mfano Mwambalaswa(Mbunge wa Lupa) nadhani ulimsikia kejeli aliyoifanya jana mjengoni!Mimi ni mdau wa elimu kiukweli ni kwamba serikali haitaki watoto wa masikini wasome ili waendelee kuwa watumwa wa wanasiasa, inauma sana!Ndo maana hata unaposema kauli zinatofautiana baina ya VC na Waziri ni kweli kwa sababu suala la elimu haliwahusu,liliwahusu kipindi wanasomeshwa bure na serikali,leo suala la pesa ya field tu!linawauma kinyama utafikiri wao hawakufanya field!Mkuu nchi hii inahitaji wasomi bahati mbaya wasomi hawahitajiki katika nchi hii!kwa sababu watapambana na watoto wa vigogo katika nyadhifa za serikalini!ndo maana ili waendelee kutuongoza wanajitahidi kutunyima elimu na ikitokea tumeipata hiyo elimu basi ni kwa kusota kwelikweli!Kiufupi elimu inahitaji watu wenye uzalendo kweli kweli kama Nyerere!Je wapo?na kama wapo wanawajibika kiasi gani?au ndo hao wanaokaa kujadili namna ya kutimua wanafunzi tu,bika hata kujibu hoja za hao wanafunzi?Mkuu kazi ipo!
 
Kinacho uzi ni kwamba TCU inasema tuwape muda wa wiki mbili wafanye uchunguzi kama hizo degree ambazo hazina field kama zinastaili kuwa na field. Swali kwa TCU na serikali ya ccm ambayo ipo madarakani walikuwa wapi kabla ya kudahili wanafunzi kuja udom kujua ni wapi wanastahili field? Inashangaza natural science kukosa field alafu mtu unajihita muhitimu wa chuo kikuu.
 
Kwanza pole sana mkuu!Siasa na Elimu ni sawa na Mafuta na maji!we fikiria kuhusu shule za kata mwalimu mmoja shule nzima anafundisha masomo yote ya sayansi na ya sanaa!mende aangusha kabati!Ulishawahi kuona mtoto wa kiongozi hasa wanaoshabikia shule za kata anasoma kwenye hizo shule!maajabu!Wanasiasa wanabeza wasomi kwa sababu wanasauti ya kuwabeza wasomi,kwa mfano Mwambalaswa(Mbunge wa Lupa) nadhani ulimsikia kejeli aliyoifanya jana mjengoni!Mimi ni mdau wa elimu kiukweli ni kwamba serikali haitaki watoto wa masikini wasome ili waendelee kuwa watumwa wa wanasiasa, inauma sana!Ndo maana hata unaposema kauli zinatofautiana baina ya VC na Waziri ni kweli kwa sababu suala la elimu haliwahusu,liliwahusu kipindi wanasomeshwa bure na serikali,leo suala la pesa ya field tu!linawauma kinyama utafikiri wao hawakufanya field!Mkuu nchi hii inahitaji wasomi bahati mbaya wasomi hawahitajiki katika nchi hii!kwa sababu watapambana na watoto wa vigogo katika nyadhifa za serikalini!ndo maana ili waendelee kutuongoza wanajitahidi kutunyima elimu na ikitokea tumeipata hiyo elimu basi ni kwa kusota kwelikweli!Kiufupi elimu inahitaji watu wenye uzalendo kweli kweli kama Nyerere!Je wapo?na kama wapo wanawajibika kiasi gani?au ndo hao wanaokaa kujadili namna ya kutimua wanafunzi tu,bika hata kujibu hoja za hao wanafunzi?Mkuu kazi ipo!
Asante mkuu tumeshapoa ila inakera kujisifia majengo. TUMEJENGA CHUO KIKUBWA AFRIKA MASHARIKI ila ndicho kinachoongoza kwa mahandamano ya migomo wanafunzi kudai elimu bora inayoendana na ulimwengu wa sasa.
 
Back
Top Bottom