TaiJike JF-Expert Member Dec 14, 2011 1,483 666 Jan 14, 2012 #21 Nimewakumbuka watoto wangu hasa mama yao. Wekundu wa msibazi wako mazoezini Njia imeota nyasi
MsafiriBM Member Feb 11, 2012 21 2 Feb 14, 2012 #24 tobycow said: dawa ya penz=condom kukojoa=? Click to expand... kumwaga
MsafiriBM Member Feb 11, 2012 21 2 Feb 14, 2012 #25 THK DJAYZZ said: 1.mama zero njoo chumbani unipatie kiatu changu nivae. 2.mwenzio nataka tena 3.nipe con nilambe 4.ukiona gari imesimama panda haraka. Click to expand... mh? Gari?
THK DJAYZZ said: 1.mama zero njoo chumbani unipatie kiatu changu nivae. 2.mwenzio nataka tena 3.nipe con nilambe 4.ukiona gari imesimama panda haraka. Click to expand... mh? Gari?
Mshawa JF-Expert Member Sep 6, 2011 776 306 Feb 15, 2012 #26 Ikisimama panda.... Ukitaka kumjua mume mwenzio.....(mwache mkeo)....
The only JF-Expert Member May 19, 2011 10,433 13,414 Feb 15, 2012 #28 mama nanii kanda imeisha weka side b
egbert44 JF-Expert Member Mar 17, 2006 381 57 Feb 16, 2012 #30 mla vya wenzie na vyake huliwa mwanamke pangaboy mwanamme twanga pepeta
DAWA YA SIKIO JF-Expert Member Dec 8, 2011 979 180 Feb 16, 2012 #35 1. Ukitaka kula kubali kuliwa kidogo... Sina maana hiyo tehe tehe ! 2. Mshikaji (miaka ya 80+ =mpenzi). 3. Ipago (kipekecha gogo=pen*s). 4. King'aast. 5. Shemeji kula. 6. Ju kwa ju. 7. Niangusage. 8. Mwino= condom. 9. Kitu na box =demu asietumika. 10. TV yangu= mke.
1. Ukitaka kula kubali kuliwa kidogo... Sina maana hiyo tehe tehe ! 2. Mshikaji (miaka ya 80+ =mpenzi). 3. Ipago (kipekecha gogo=pen*s). 4. King'aast. 5. Shemeji kula. 6. Ju kwa ju. 7. Niangusage. 8. Mwino= condom. 9. Kitu na box =demu asietumika. 10. TV yangu= mke.
S smartuser Member Oct 4, 2011 12 0 Feb 17, 2012 #36 TUMY said: Maharage ya mbeya.............. Click to expand... Maji mara moja... kuni tissue!