yeyote anatarajia kuivuruga chadema kupitia zitto aandike maumivu- by zitto.
kama ni kweli ana nia njema mbona wale vijana wa 4 wa bavicha wanapita pita mitaani wanasema zzk amewatuma watukane viongozi wa chama kwamba wanampigania yeye. Sasa awekemee kwn hayo ya udini na ukabila na matusi ndo kauli mbiu yao na yeye anawajua vizuri sana.