Maneno nliyojifunza miaka ya 80 toka kwa bamdogo aliporudi toka ulaya

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Nakumbuka sana miaka hiyo akina baba waliitisha kikao na kuunda kamati ya mapokezi kwenda Kumpokea pale Uwanja wa ndege. Ndugu wote walikuja dar nyumban kwetu kulijaa sana na pia nyumban kwa bamdogo Ubungo.

Hatimaye mida mida tukawa eapoti miaka hiyo hakukuwa na folen sana. Kulikuwa na gari mbili zote za mzee Mwakibete.datsun na 504 aka guruwe.

Aisee... Baada ya siku kama 5 tukaenda kukaa kwa bamdogo.tulikuwa tunafurah namna ambavyo mtu akikosea anatukana kizungu.. Maneno kama salama beach, maza fanta,shiti, ndo tulijufunza huko.

Eksichuzi mi,senkyu na komoni hia. Wadau mnaweza ongezea maneno mengine ya zamani sana ya kiingereza uliyojifunza na matamshi yake
 
yeaah nakumbuka hilo la blalful nalo lilikuwa neno ambalo bamdogo anapenda kulitumia. yaani ni raha kutukanwa kizungu kuliko mtu akutukane kiswahili.inauma sana mtu anapokutukana kwa kiswahili..maana yake amekudharau sana.ila ukiambia mazafanta au salama beach hauumii sana .au neno kama hilo blalful wala si la kuumiza.nashauri hata sisi humu ndani kama mtu akikuudhi ni bora umtukane kwa kizungu kuliko kumuita mtu keelyzer muite tu kuwa hi is fuli au dambu-dumb...
 
Mm nilijufunza mengi kigodo.

tumezoea kusema samahani kibongobongo utasikia sorry kumbe siyo sahihi kwa neno samahani


Mfano unataka mtu akupishe unasema sorry!!
 
SAMUTAIMU YESI SAMUTAIMU NOO,kuna jirani yangu mhaya aliienda ulaya zamani kidogo huwa anapenda sana kutumia haya maneno
 
Nakumbuka sana miaka hiyo akina baba waliitisha kikao na kuunda kamati ya mapokezi kwenda Kumpokea pale Uwanja wa ndege. Ndugu wote walikuja dar nyumban kwetu kulijaa sana na pia nyumban kwa bamdogo Ubungo.

Hatimaye mida mida tukawa eapoti miaka hiyo hakukuwa na folen sana. Kulikuwa na gari mbili zote za mzee Mwakibete.datsun na 504 aka guruwe.

Aisee... Baada ya siku kama 5 tukaenda kukaa kwa bamdogo.tulikuwa tunafurah namna ambavyo mtu akikosea anatukana kizungu.. Maneno kama salama beach, maza fanta,shiti, ndo tulijufunza huko.

Eksichuzi mi,senkyu na komoni hia. Wadau mnaweza ongezea maneno mengine ya zamani sana ya kiingereza uliyojifunza na matamshi yake

Mimi kwa kuwa sikuwepo kwa huyo mgeni wenu sina ninachokijua na kujifunza.......ngoja waje waliokuwepo na kumsikia huyo jamaa yenu akidondosha ''Kidhungu''.........
 
Kokroch master ...hili tusi la kizungu nalo lilikuwa maarufu sana miaka hiyo.
Black fool..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom