Ndugu waswahili wenzangu maneno haya yanayohusu wakati nashindwa kuyatumia ipasavyo na mwenye uelewa wa kutosha naomba anielimishe;
alfajiri,asubuhi,mchana,adhuhuri,jioni,alasiri na usiku.kwa mfano nawezaje kutofautisha kati ya alfajiri na asubuhi au mchana na adhuhuri n.k.
alfajiri,asubuhi,mchana,adhuhuri,jioni,alasiri na usiku.kwa mfano nawezaje kutofautisha kati ya alfajiri na asubuhi au mchana na adhuhuri n.k.