Maneno haya ya zamani jamani yanikumbusha mbali!

Twilumba

JF-Expert Member
Dec 5, 2010
11,541
12,401
WanaJF kuna maneno ni dhahiri ukiyakumbuka unaweza kucheka kama si kuhuzunika kwani yatavuta memmories na kukumbuka mengi mmo kwa wakati huo, mi nakumbuka machache ingawa mengine bado yanadumu, tukumbushane basi ingawa najua wakati ule utandawazi haukuwawepo au kama ulikuwepo basi kwa kiduchu sana, Yafuatayo ni baadhi ya hayo maneno au misemo ya enzi za mwalimu:- 1. Nyapu
2. Mnaa
3. Manga
4. Kutupia ndoano
5. Kupiga chabo
wadau tukumbushane mengine!
 
Back
Top Bottom