KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Neno hili nimelifuatilia sana na nimegundua linatumiwa sana na wenzetu wahubiri wa Kiislam.
Mfano,,Dini ambayo "Haina Mashaka",,,,,,
Kitabu ambacho "Hakina Mashaka",,,,,,,
Sasa naomba kuuliza,,kwanini wanapenda sana kulitumia maneno hayo kuhalalisha wanachokisema?
Mfano,,Dini ambayo "Haina Mashaka",,,,,,
Kitabu ambacho "Hakina Mashaka",,,,,,,
Sasa naomba kuuliza,,kwanini wanapenda sana kulitumia maneno hayo kuhalalisha wanachokisema?