Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,204
- 42,066
Huuu ndio ukweli mtupu
Hayo maneno siku hizi hayana nguvu sana kama zamani, siku hizi wanawake wanaangalia zaidi ni kitu gani mwanaume anamiliki au future ya mwanaume huyo ikoje, inalipa au hailipi....
Hujawasikia wakisema kwamba mwanaume asiye na kitu ana kasoro?
Ndio maana wale wanaume wanamudu kujikweza huwabamba sana wadada...
Kizazi hiki sio cha maneno matupu ndugu yangu....