CHIETH
Senior Member
- Aug 15, 2011
- 179
- 67
Naomba nikusamehe kwa kuwa ni wewe ndiyo huelewi. Swala lakudai haki halina tofouti maana ni uhuru ule ule. Enzi za akina mandela kulikuwa na ukandamizaji wa wageni. Enzi za akina Lema ni ukandamizaji wa ndugu zetu wenyewe waliovaa mavazi ya wakoloni. Ndiyo maana ninasema madai na hali ya lema hayanatofouti na ya mandela.Matukio hayafanani kati ya lema na mandela,mandela alikuwa anadai uhuru na haki za weusi kwa mikutano na migomo.maandamano ya lema yanadai nini?
Mandela alipewa ofa,afutiwe mashtaka na aache harakati lema hajapewa ofa hiyo kesi bado ipo. Kama mandela angapewa dhamana angetoka kosa lake lilikua halidhaminiki,lema linadhaminika.ni umbumbumbu wa lema na anaowahadaa