Big up sana,mambo yapo ovyo ovyo hapa katika mchakato mzima wa kuhesabu kura, NEC are CCM allies!!!!
Ningekuwa na nauli ningekuja niungane nanyi lakini big up guys Tanzanian
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Big up sana,mambo yapo ovyo ovyo hapa katika mchakato mzima wa kuhesabu kura, NEC are CCM allies!!!!
:smile-big::A S angry: YANI MKINIFIKISHA HAPO NATAMANI HATA KUTAPIKA, ILA BASI TU INANIBIDI NIVUMILIE KWA SABABU NI DEMOKRASIA:smile-big: HEBU FIKIRI, HUKUPIGA!, HUKUFANYA KAMPENI YOYOTE, :doh: HUPO TANZANIA, HIVI NANI ALIEKWAMBIA FIMBO YA MBALI INAUWA NYOKA??? KAMA KWELI UNA UCHUNGU WA KWELI HEBU RUDI TANZANIA, JIKUSANYENI PALE JANGWANI AU KIDONGO CHEKUNDU, NA ANDAMANENI:smile-big: MAANA HUO MWALIKO WENU NI KAMA KELELE ZA CHURA NAVOONA:tape: SORRY LAKINI NI MTAZAMO WANGU APO
:smile-big::A S angry: YANI MKINIFIKISHA HAPO NATAMANI HATA KUTAPIKA, ILA BASI TU INANIBIDI NIVUMILIE KWA SABABU NI DEMOKRASIA:smile-big: HEBU FIKIRI, HUKUPIGA!, HUKUFANYA KAMPENI YOYOTE, :doh: HUPO TANZANIA, HIVI NANI ALIEKWAMBIA FIMBO YA MBALI INAUWA NYOKA??? KAMA KWELI UNA UCHUNGU WA KWELI HEBU RUDI TANZANIA, JIKUSANYENI PALE JANGWANI AU KIDONGO CHEKUNDU, NA ANDAMANENI:smile-big: MAANA HUO MWALIKO WENU NI KAMA KELELE ZA CHURA NAVOONA:tape: SORRY LAKINI NI MTAZAMO WANGU APO
Hii kweli kali. Posti ya kwanza tu unatupiga mizinga ya maandamano.
Ndugu watanzania ambao tunaoshi maeneo ya washington dc, tunawatangazia watanzania wote kwamba tutafanya mandamano ya kupinga matekeo ya uchaguzi mkuu, 2010, kwasababu ya wizi na udanganyifu uliojitokeza kwenye uchaguzi katika maeneo mbalimbali nchini tanzania.
Tunawaomba watanzania wote waishio marekani mujitokeze kwa wingi katika kupinga matendo hayo ya ubadhilifu nchini kwetu. Kwa wale ambao wanataka kujitokeza wasiliana nasi kwa: #202 367 2761 # 301 655 6577 # 224 628 8279.
Haya ni ya kweli?
:smile-big::A S angry: YANI MKINIFIKISHA HAPO NATAMANI HATA KUTAPIKA, ILA BASI TU INANIBIDI NIVUMILIE KWA SABABU NI DEMOKRASIA:smile-big: HEBU FIKIRI, HUKUPIGA!, HUKUFANYA KAMPENI YOYOTE, :doh: HUPO TANZANIA, HIVI NANI ALIEKWAMBIA FIMBO YA MBALI INAUWA NYOKA??? KAMA KWELI UNA UCHUNGU WA KWELI HEBU RUDI TANZANIA, JIKUSANYENI PALE JANGWANI AU KIDONGO CHEKUNDU, NA ANDAMANENI:smile-big: MAANA HUO MWALIKO WENU NI KAMA KELELE ZA CHURA NAVOONA:tape: SORRY LAKINI NI MTAZAMO WANGU APO
Ndugu watanzania ambao tunaoshi maeneo ya washington dc, tunawatangazia watanzania wote kwamba tutafanya mandamano ya kupinga matekeo ya uchaguzi mkuu, 2010, kwasababu ya wizi na udanganyifu uliojitokeza kwenye uchaguzi katika maeneo mbalimbali nchini tanzania.
Tunawaomba watanzania wote waishio marekani mujitokeze kwa wingi katika kupinga matendo hayo ya ubadhilifu nchini kwetu. Kwa wale ambao wanataka kujitokeza wasiliana nasi kwa: #202 367 2761 # 301 655 6577 # 224 628 8279.
:smile-big::A S angry: YANI MKINIFIKISHA HAPO NATAMANI HATA KUTAPIKA, ILA BASI TU INANIBIDI NIVUMILIE KWA SABABU NI DEMOKRASIA:smile-big: HEBU FIKIRI, HUKUPIGA!, HUKUFANYA KAMPENI YOYOTE, :doh: HUPO TANZANIA, HIVI NANI ALIEKWAMBIA FIMBO YA MBALI INAUWA NYOKA??? KAMA KWELI UNA UCHUNGU WA KWELI HEBU RUDI TANZANIA, JIKUSANYENI PALE JANGWANI AU KIDONGO CHEKUNDU, NA ANDAMANENI:smile-big: MAANA HUO MWALIKO WENU NI KAMA KELELE ZA CHURA NAVOONA:tape: SORRY LAKINI NI MTAZAMO WANGU APO
zubeda, hata kama mmeshinda, kumbuka "still i love you". :a s-rose:
Dr. Slaa ametoa barua ya Kabwe. Na tovuti ya NEC imeonyesha matokea ya rais vituo viwili yanafanana vilevile kwa wagombea wote wa urais. Kiravu amekiri kuwa walichakachua. Yeye anasema walikosea kusoma. Lakini kama walikosea kusoma kwa nini wakakosea na kuandika kwenye tovuti? Huo ni ushahidi wa wazi jinzi NEC, CCM na JK wasivyokosa aibu kuchakachua mchana kweupe. Waandamaji tengenezeni mabango makubwa yenye barua ta Kabwe na matokeo yaliyosomwa na kuondikwa na NEC ya GEITA na NYANG'HWALE. Safi sana watu wa USA, Mwende hadi kwa Obama na ubalozi wa Tanzania. Msisahau kuwashirikisha CNN na vyombo vingine vya habari, Aibu CCM, NEC, JK. LOOO!