BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Mechi ni kali sana na speed si ya kawaida. Nimeshangazwa sana na uamuzi wa Scolari wa kumuacha leading scorer wa Chelsea Anelka kwenye bench, labda ni majeruhi vinginevyo kocha amefanya kosa kubwa sana. Mechi muhimu kama hii unamuweka leading scorer wa timu yako kwenye bench!? Rooney anastahili kuwa na kadi ya njano lakini Refa naona anaona aibu au kuogopa kumpa yellow card