Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,839
Historia inaeleza kuwa Arsenal haijawahi kufuzu semi finial kwa kuishinda timu ya England na Man United haijawahi kutolewa CL na timu ya England. Hiyo ndo historia sasa ni 3:0 ili Arsenal asongembele lazima apige goli 5 na kwa mchezo huu almost impossible.
....aaaarrggghhhhh, hakuna cha historia wala nini! halafu hakuna aibu yeyote hapa,....nyie mnasikiliza au mnauangalia huu mpira?
ARSENAL leo tumezidiwa kila idara kimpira mpaka kwenye benchi la reserves! kuna cha aibu hapo? ...am enjoying the moment, kuna wengi walitu count out hata kwenye Quarter finals walijua hatutapita!