manchester united yaanza kwa ushindi wa 2-1 ila...

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,314
13,277
man utd yaanza ligi kwa ushindi kiduchu kwa kuifunga w-brom,bao 2-1 ila lile jinamizi la golikipa bao linaendelea kwa michomo hatari anatoa! Ile ya kipuuzi ndio anafungwa!ina maana inawezekana ile huwa anabahatisha?au tumuombe vand saar abatilishe uamuzi wa kustaafu kwani kwa staili hii,atatugharimu sana.na sisi ni wazee wa mataji.
 
man utd yaanza ligi kwa ushindi kiduchu kwa kuifunga w-brom,bao 2-1 ila lile jinamizi la golikipa bao linaendelea kwa michomo hatari anatoa! Ile ya kipuuzi ndio anafungwa!ina maana inawezekana ile huwa anabahatisha?au tumuombe vand saar abatilishe uamuzi wa kustaafu kwani kwa staili hii,atatugharimu sana.na sisi ni wazee wa mataji.
<br />
<br />
No comment from me; Arsenal fan; yangu yananishinda, yako siyawezi.
 
man utd yaanza ligi kwa ushindi kiduchu kwa kuifunga w-brom,bao 2-1 ila lile jinamizi la golikipa bao linaendelea kwa michomo hatari anatoa! Ile ya kipuuzi ndio anafungwa!ina maana inawezekana ile huwa anabahatisha?au tumuombe vand saar abatilishe uamuzi wa kustaafu kwani kwa staili hii,atatugharimu sana.na sisi ni wazee wa mataji.
<br />
<br />
Nakubaliana na wewe@100% hata namba 6 hatuna mtu wakuaminika.
 
Back
Top Bottom