white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,277
man utd yaanza ligi kwa ushindi kiduchu kwa kuifunga w-brom,bao 2-1 ila lile jinamizi la golikipa bao linaendelea kwa michomo hatari anatoa! Ile ya kipuuzi ndio anafungwa!ina maana inawezekana ile huwa anabahatisha?au tumuombe vand saar abatilishe uamuzi wa kustaafu kwani kwa staili hii,atatugharimu sana.na sisi ni wazee wa mataji.