Hapo wanapambanishwa Mabingwa wa Ulaya. Man Utd na Mabingwa wenzao wa Amerika ya Kusini. Boca junior,AC Millan na Buyern Ni Wadhaminiwa wa Audi Co. Wanavaa Jezi Zao Audi, Opel nk. Nadhani ni Michuano isiyo na hamasa ya kutosha, Hata Emirates nao Walishaanda huko nyuma. Arsenal(eng)SV.HumbuRG(Grm)..walishiriki
Mi sijaelewa vizuri naomba nieleweshwe kidogo. Kama Man U ni mabingwa wa Ulaya na Borca J ni mabingwa wa America kusini vipi hawa washindani wengine ni mabingwa wa wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.