Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,547
- 10,273
Haya mapenzi na ushauri wa majirani zetu in abidi tunyamaze kwa mapenzi gani mpaka watuonee huruma?Kocha anamtaka Pogba na klabu inayo hela ya kumnunua ,sasa unataka Matuidi asajiliwe na nani ? Pesa sio issue kwa Man United