Monchi angefanya vizuri sana United kama mngekuwa na managers kama Simeone, Emery, Poch, Aleggri and even Conte. Lakini chini ya Mourinho i doubt kama kutakuwa na mafanikio sana coz Monchi is not a fan of "big money signings" contrary to Mourinho.

Nadhan baada ya kuchua ubingwa pale Chelsea last season, Mourinho akaona hakuna haja na kuongeza zaid wachezaji wa maana zaidi ya squad players, mwenyewe alinukuliwa akisema Kikosi chake kipo imara na hakihitaji nyongeza ya Top class players, ndo maana ile summer wakaamua zaidi kubase na squad players (2nd and 3rd choice players,) Pedro, Baba, Begovic, etc.

Lakin kwa hapo United na katika msimu wake wa kwanza ni Lazima he will go for big money signings, na kukosekana kwa UCL kunamaanisha Power ya United katika Pesa ndiyo itatumika zaidi, so expect 2-4 big signings summer hii..so idea ya Monchi haingii hapo, anaamini sana katika projects, ukinambia ataenda wapi kati ya Madrid na United, my bet itakuwa Real madrid, coz expectations ni ndogo kuliko United, Mou sidhani kama atahitaji "project signings".. na kama atataka kufanya biashara na Sevilla basi ni kwa ajili ya Krycho ambaye he wont leave for Cheap, wakat Monchi atakwambia kuna kina Krycho wengine kwenye league za Serbia, poland etc..
Monch mzur...sema anavumbua vipaji visivyojulikana..mancs na madrid wanataka superstar..sidhan kama wanahitaj monch kwa sasa
 
Mashetani wekundu (Manchester United) wamewasilisha ofa ya Pauni milioni 60 kwenye klabu ya Juventus, kwa lengo la kutaka kumsajili kiungo kutoka nchini Ufaransa, Paul Pogba. Man Utd wamewasilisha ofa hiyo itakayovunja rekodi ya usajili wa wachezaji waliowahi kujiunga na klabu za nchini England, endapo itakubaliwa na viongozi wa klabu bingwa nchini Italia Juventus FC. Uchunguzi uliofanywa na gazeti la The Sun, na taarifa zake kuchapishwa mapema hii leo, umoenyesha tayari ofa hiyo imeshatumwa na kwa sasa viongozi wa Man Utd wanasubiri jibu kutoka Juventus Stadium huko mjini Turin nchini Italia
 
Bailly nilisha muona mara chache sana AFCON na kwenye ile game vs Liverpool ni strong ana pace pia ni mwepesi sana kuusoma mchezo

Kama Kuna anaemjua vizuri please
 
Bailly nilisha muona mara chache sana AFCON na kwenye ile game vs Liverpool ni strong ana pace pia ni mwepesi sana kuusoma mchezo

Kama Kuna anaemjua vizuri please
Mimi nme muona hizo mbili

Kuna nyingne walicheza na leverkusen waka toka 0-0 EUROPA

na ile na Barca 2-2 dogo ni mzuri uwa ana cheza na jamaa mwingne anaitwa ruiz i think

Alikuwa na mwaka mzuri kuliko hata laporte nadhan, kwakuwa bado mdogo ana faa
 
2d1a24641e578934145ea8207017d332.jpg


Jose ana furaha sana kuwa kocha wa United, naona kwake kapiga nembo kubwa kabsa ya timu yetu, we should support this manager
 
2d1a24641e578934145ea8207017d332.jpg


Jose ana furaha sana kuwa kocha wa United, naona kwake kapiga nembo kubwa kabsa ya timu yetu, we should support this manager

Yahani hata body language yake tu inaonesha the guy is more than excited to be MUFC manager...I gotta strong feelings this time tumepatia aisse...atatupa trophies tu pengine hata msimu wake wa kwanza...he is in for winning
 
Back
Top Bottom