Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,384
- 41,394
Mkuu José is what we need right now, kuna watu may be wanakua na chuki binafsi tu na mou, watu wanalalamika kuhusu young player lakini wamesahau varane alipewa namba mbele ya pepe, kuna morata, zouma na hata ballotel waliweza kupangwa na kuaminiwa,
Hakuna world class coach ambae anaweza kuturudisha kwenye kushinda mataji kwa sasa zaidi ya José na ni ambae yupo available, pia huwezi kum-crtisize kocha kwa kutowapa nafasi vijana endapo hao vijana wenyewe hawaoneshi nia ya kutaka mafanikio na kutoka, kwa mfano jaribu kuangalia ni vijana gani waliokua hawapewi nafasi na mou na wakatafuta mbinu mbadala ya kutoka?
Angalia mfano wakina pique, pogba na Drinkwater walikosa nafasi utd lakini walikoenda wametuprove wrong, na nitegemezi huko so haiitaji kocha pekee kukutoa juhudi yako pia inahusika,
Miezi michache aliyoharibu José kisiwe kigezo cha kumfanya kama ni hopeless, kumbuka kila timu aliyofundisha hajawahi kumaliza out of top three kwa miaka zaidi ya 15 ( kama nitakua sawa) Leo hii kuharibu nusu msimu akiwa na Chelsea anaonekana sio kitu, lakini kloop alimaliza ligi wa saba akiwa na BvB ndio anaonekana mchawi wa mpira,
Hizi chuki za uchelsea na umanchester zitatuletea kiungulia, kwangu Mimi José ndio kocha pekee atakaeifanya Manchester irudi kwenye umanchester wake.
Umenena vyema mkuu. Kwasasa ni Mourinho tu,hakuna mwingine.