maeneo ya shule uwanjani mm nami ni wa dumila bans kwa wazee ndo wanaishnjiapanda
pole umeongea kwa uchungukwani ni manchester united pekee iliyonunua mchezaji kwa bei ghali akafeli? unaijua rekod ya anelka kwa wakat ule inamtoa arsenal kwenda madrid? mmekomaa na pesa ya pogba wakat huo manchester imetangaza ongezeko la club faida ya £68 15/16 bado wataendelea kununua wachezaj had timu yao itakapo kaa sawa pogba sio inshu ila ni inshu kwa timu zingine ndani ya man u hawajaathirika hata kidogo kafeli kisoka pesa yao kairudisha kwenye jez na bado ni mchezaj wa manchester united hapo hasara iko wap kipesa?
pigaaaaaaaaaaa mbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nendeni PM, acheni ushamba.maeneo ya shule uwanjani mm nami ni wa dumila bans kwa wazee ndo wanaish
Noted!!!!Nendeni PM, acheni ushamba.
mamaaa kweli mmepanic collaboration tenahakuna collaboration wachezaji wanacheza hovyo sana aisee ila rooney ndo kabisaaa
Hii club mi nataka iwe kama Fulham au Leeds United ! damnnn !Mourinho amefikia ukomo wa kipaji chake, ndio life cycle ilivyo, isitoshe timing ya ujio wake traford haikuwa sahihi baada ya kutimuliwa Chelsea, he is on the decline mode; na hii kufungwafungwa mapema hivi ataingia kwenye panic mode akianza kuzongwa na mashabiki wa MUN, ndio kabisaa atavurugikiwa! Lets hope he can turn the corner as soon as possible kabla bundi hajamuandama! Best wishes mashabiki wa MUN, msikate tamaa, it is still early in the race for the title. Sisi na Mpare wetu Arsene Wenger, mambo sio mabaya, so far so good.
ha ha ha collaborationmamaaa kweli mmepanic collaboration tena
duuuhhh ndugu una roho ngumu kama si mbayaHii club mi nataka iwe kama Fulham au Leeds United ! damnnn !
Daaah we jamaa..Hii club mi nataka iwe kama Fulham au Leeds United ! damnnn !
Kumbe tupo sehemu mojanjiapanda
wadau hebu tujadiliane ni kipi kimetukumba hadi tunacheza mpira kama wa ligi daraja la 3