labda timu yangu ya Real Madrid itafufuka na kuchukua Champions league mara ya kumi.
Ila mara nyingi Galacticos wananiangusha
dont be sad that money u can just take pound mil 10 n get urself a new ronaldo.i dont believe on spending big.Manchester will sell Ronaldo to Real Madrid for $130 Million (£80m). As a Man U fan today is sad day for me. But since football is a game of business, this is real fantastic action
Mapishi mengi huharibu mchuzi!!! SAF anapenda sana kuwacontrol wachezaji ambao ni star players kama akina Beckham na Ronaldo. Hapendi mchezaji awe na sifa zaidi kuliko yeye inapokuja kwenye mafanikio ya MANU. Kama mtakumbuka kwenye mechi ya hivi karibuni Ronaldo alionekana kuchukizwa sana na kitendo cha kutolewa wakati yeye alitaka aendelee kuwemo uwanjani. Kwanza ilikuwa Beckham, sasa Ronaldo na next si ajabu atakuwa Rooney kama huyu control freak hataacha tabia yake ya kufanya maamuzi bila kuwasikiliza wachezaji wake. Ubingwa wa EPL mwakani sasa hivi uko wazi sana.
Mapishi mengi huharibu mchuzi!!! SAF anapenda sana kuwacontrol wachezaji ambao ni star players kama akina Beckham na Ronaldo. Hapendi mchezaji awe na sifa zaidi kuliko yeye inapokuja kwenye mafanikio ya MANU. Kama mtakumbuka kwenye mechi ya hivi karibuni Ronaldo alionekana kuchukizwa sana na kitendo cha kutolewa wakati yeye alitaka aendelee kuwemo uwanjani. Kwanza ilikuwa Beckham, sasa Ronaldo na next si ajabu atakuwa Rooney kama huyu control freak hataacha tabia yake ya kufanya maamuzi bila kuwasikiliza wachezaji wake. Ubingwa wa EPL mwakani sasa hivi uko wazi sana.
...oooooohh Belinda, dont worry, aliondoka George Best akaja No7. Eric Cantona, ikaingia No7 David Beckham, kuondoka kwake ikawa ufunguo kwa No7 nyingine Christiano Ronaldo.
...MTM, hizo positive changes zitachukua zaidi ya msimu mmoja kuanza kujionyesha, pengo la Ronaldo kubwa hata wakiwaleta Ribery na Benzema.
Mapishi mengi huharibu mchuzi!!! SAF anapenda sana kuwacontrol wachezaji ambao ni star players kama akina Beckham na Ronaldo. Hapendi mchezaji awe na sifa zaidi kuliko yeye inapokuja kwenye mafanikio ya MANU. Kama mtakumbuka kwenye mechi ya hivi karibuni Ronaldo alionekana kuchukizwa sana na kitendo cha kutolewa wakati yeye alitaka aendelee kuwemo uwanjani. Kwanza ilikuwa Beckham, sasa Ronaldo na next si ajabu atakuwa Rooney kama huyu control freak hataacha tabia yake ya kufanya maamuzi bila kuwasikiliza wachezaji wake. Ubingwa wa EPL mwakani sasa hivi uko wazi sana.
Fergie anatakiwa atafute striker 2 na winger mmoja wa kuziba mapengo ya Tevez na Ronaldo
Real Madrid-bound winger Cristiano Ronaldo looks set to become one of the highest paid sports stars in the world. A report claims that although the player would initially earn £9.5m-a-year, it would rise 25% season-on season to £29m-a-year - or £557,000-a-week
........Hakuna mchezaji aliye zaidi ya kocha ,hapo Chelsea John Terry ana infuence kubwa kuliko kochaMapishi mengi huharibu mchuzi!!! SAF anapenda sana kuwacontrol wachezaji ambao ni star players kama akina Beckham na Ronaldo. Hapendi mchezaji awe na sifa zaidi kuliko yeye inapokuja kwenye mafanikio ya MANU.
.Kama mtakumbuka kwenye mechi ya hivi karibuni Ronaldo alionekana kuchukizwa sana na kitendo cha kutolewa wakati yeye alitaka aendelee kuwemo uwanjani
Alikuwa anapumzishwa ili awe fiti kwa next game na aliomba msamaha
Kwanza ilikuwa Beckham, sasa Ronaldo na next si ajabu atakuwa Rooney kama huyu control freak hataacha tabia yake ya kufanya maamuzi bila kuwasikiliza wachezaji wake.
Bado watakuja wengi na kuondoka hata yeye Fergie ataondoka but Man U itaendelea kuwepo na kushinda kama kawaida
Still Man U wana nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wapinzani watakuwa Chelsea hao wengine wasindikizaji tuHTML:Ubingwa wa EPL mwakani sasa hivi uko wazi sana.