Umenikumbusha wakati Upanga lilikuwa pori la karibu kutokea Mchafukoge! Mbezi beach ilipokuwa shamba la Mkonge na watu wakienda kuwinda swala na digi-digi. Si zamani sana ni 60's tu!
Umenikumbusha wakati Upanga lilikuwa pori la karibu kutokea Mchafukoge! Mbezi beach ilipokuwa shamba la Mkonge na watu wakienda kuwinda swala na digi-digi. Si zamani sana ni 60's tu!
Umenikumbusha wakati Upanga lilikuwa pori la karibu kutokea Mchafukoge! Mbezi beach ilipokuwa shamba la Mkonge na watu wakienda kuwinda swala na digi-digi. Si zamani sana ni 60's tu!
Mkuu kama unakumbuka, Kinondoni yote ilikuwa Mashamba, Ubungo ndio pori kabisaaa, Mkuu kweli una memory kubwa sana.
umeona zomba kasema si zamani sana ilikuwa miaka ya 60's tu....hahaha yaani miaka ya 60 si zamani?Kumbe ninyi ni watu wazima hivi?
Hii ni tasa (red gum) sio poto!
Hapo songoro moja tu mbuku hapumui.
Shida yote ya kulenga ya nini?
We weka ulimbo kwenye tawi wanalopenda, na kumbikumbi wazima, ushanasa kitoweo!....lol!
Ha haa haaa.. mshkaji kanukumbusha mbali sana. Kweli watoto wa .com wanakosa mengi. Nakumbuka ulikuwa ukipiga ndege inapaka damu kwenye ncha za vipago eti ni zindiko la shabaha. Kaptula zote zilikuwa zinatoboka mifuko kwa ajili ya kuweka mawe.
Nashicha meku Mosha, amba mbonyiMbonyi tsafo Kileme!