Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,541
dume la mbegu
wezio wanasema dume la mbegu wewe unasema dume la haja, sasa ni haja kubwa au haja ndogoDuu kwel hil dume la haja
watoto wengine sio wake kuna watu wanamsaidia
huyu anataka kuvunja recoki ya duniaKwenye hiyo nyumba wanalipa kodi kwa baba yao au vipi? maana bili za maji na umeme hapo ni nouma kama huna wapangaji TANESCO ya India wanakukatia fasta.
Mbona watoto wachache sana? Wake 39 watoto 94 tu??!!
watoto wengine sio wake kuna watu wanamsaidia[/QUOTJirani yako nini mkuu?
Sent from my iPhone using JamiiForums
huyu anataka kuvunja recoki ya dunia
huyu mbona cha mtoto? kuna muha mmoja kibondo kavunja rekodi hiyo kitambo sema tzania hatuna utamaduni wa ku publish vya kwetu na tunaona upuuzi.
muha huyo anayeishi kilomita chache toka mji wa kibondo, ambaye pia ni sangoma, ana wake zaidi ya hao, watoto zaidi na wajukuu zaidi. maana kudhihirisha umahir wake, taarifa zinasema alijenga shule akapewa walimu kufundisha tu hapo familia yake elimu msingi.