Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
Huyu refa sasa anataka kuharibu mpira yellow card kwa Torres!
Liverpool players need to calm down, naona kama huu mchezo utakua mbaya sana kutokana na poor men management
...Bwawa la maini wasipoangalia, Red card inanukia! Harold Webb leo kaamua kuweka unazi wake hadharani!
Tensions kama hizi halafu hamna hata mchezaji mmoja wa Manure alonyoshewa japo kidole?