Wakiwa nyumbani OT,Man U wamegongwa 6-1 na mahasimu wao wa jadi Man city.Hii aibu ni sawa na mtu mzima kuogeshwa roundabout ya Msamvu-Moro mchana kweupeee!
Mara yako ya mwisho kupigwa ilikuwa lini? au unataka kuchezea makofi saa hii? kwanza hao sio mahasimu wetu saaana,Hasimu wetu mkubwa ni yule tuliemuogesha 8-1 pale round about ya emirate.
Mkuu una jazba mpaka hukumbuki mechi ilichezwa wapi,mlitufunga mkiwa kwenu OT na wala sio 8-1 ni 8-2.Sisi mlitufunga tukiwa ugenini tukarudi nyumbani kuwaonyesha wake zetu makovu,lakini nyinyi mmetendwa uovu mbele ya wake na watoto zenu wakishuhudia live,haina haja ya kwenda kuwahadithia!.Pia mkuu kuna kitu hukifahamu,ni bora Arsenal afungwe na Man u lakini sio jirani wa mtaa wa pili Totenham hotspurs kwa sababu hata mkienda bar mtakutana uso kwa uso na inakuwa aibu kweli.Vile vile hata Man U ni bora apigwe na timu nyingine ila sio majirani wa pua kwa mdomo,Man City!Mara yako ya mwisho kupigwa ilikuwa lini? au unataka kuchezea makofi saa hii? kwanza hao sio mahasimu wetu saaana,Hasimu wetu mkubwa ni yule tuliemuogesha 8-1 pale round about ya emirate.
Mi sishabikii City pia nakuruhusu uende spurs ila usiwakimbie baadae.Halafu mkuu omba uhai ili uje shuhudia hao City watakavyocheza defense game kwa arsenal.Haaaa kumbe masha'beki wa arsenane mpo?mi nlidhani wa man city ndo' watareact,hongereni kwa kubadili tim kila siku,mara hii mmeiacha barca mnashabikia man city? na sisi tunaanza kushabikia tot'ham sasa vijogoo wa London.
eti kuna mtu kaniambia....Man U kapata bwana halafu huyo bwana akamuoa....eti ni kweli?.....he he he hee
Mara yako ya mwisho kupigwa ilikuwa lini? au unataka kuchezea makofi saa hii? kwanza hao sio mahasimu wetu saaana,Hasimu wetu mkubwa ni yule tuliemuogesha 8-1 pale round about ya emirate.
Umesema kweli tupu mkuu.. ni sawa na SIMBA na YangaMkuu una jazba mpaka hukumbuki mechi ilichezwa wapi,mlitufunga mkiwa kwenu OT na wala sio 8-1 ni 8-2.Sisi mlitufunga tukiwa ugenini tukarudi nyumbani kuwaonyesha wake zetu makovu,lakini nyinyi mmetendwa uovu mbele ya wake na watoto zenu wakishuhudia live,haina haja ya kwenda kuwahadithia!.Pia mkuu kuna kitu hukifahamu,ni bora Arsenal afungwe na Man u lakini sio jirani wa mtaa wa pili Totenham hotspurs kwa sababu hata mkienda bar mtakutana uso kwa uso na inakuwa aibu kweli.Vile vile hata Man U ni bora apigwe na timu nyingine ila sio majirani wa pua kwa mdomo,Man City!