chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
Ongea kwa kubana pua tu
so jastina hata mimi nikisema hivyo utanielewa? Kwan karoho kangu kana kuhusudu sana.nenda straight mwaya mwambie...'dada/asha/rose au jina lake...nimekupenda na ningependa tuwe wote maishani' kwa tone ya upole ila iko firm....mwenyewe ataingia line....all the best.