Tafuta pesa wewe acha ujinga wa kutafuta maneno! Mwanamke wa maneno labda ukakamate binam zako kwenu huko!
hiyo style ya kizamani mkuuSifia anza macho mpaa masikio, afu unaeleka kwenye sura bada ya hapo unaelekea kwenye figa, na kama ikiwezekana toa na sifa kwa mavazi yak, viatu, mobile fone yake, yani we tafuta kila kitu usifie.
Afu njoo uniambie, mwanamke usimtukane dogo hao malaika wa dunia, mwanamke mpe misifa tu uone dunia inavyo enda.
All the best, dogo oa
Tafuta pesa wewe acha ujinga wa kutafuta maneno! Mwanamke wa maneno labda ukakamate binam zako kwenu huko!
Mtakalia ya kizamani wenzenu tunatafuna vi babe shauri lenu, nyie kalieni na style zakisasa kama hamjaishia kula kwa macho:biggrin:hiyo style ya kizamani mkuu
Tafuta pesa wewe acha ujinga wa kutafuta maneno! Mwanamke wa maneno labda ukakamate binam zako kwenu huko!
unaweza kuendelea kwa maneno kama: Samahani dada nilikuwa na shida na kikojoleo chako kama hutajali tafadhali.Kwa muda mrefu limekuwa linanipa tabu swali hili naomba msada wenu .
Haha!Dogo kaa ukijua wanawake hawana formula!Yeyote utakayotunga wewe anaweza nasa!Soma mood kwanza,sio jua kali unaomba kumnunulia chai!Kwa muda mrefu limekuwa linanipa tabu swali hili naomba msada wenu .