Mamndenyi na likes zake....

Labda ni macho yangu tu.......Lakini huyu Member maarufu sana kwenye Jukwaa hili na Mahusiano..hana uchoyo kabisa linapofika suala la kugonga likes.

Tembelea tembelea thread za watu kama atakuwa yupo hewani kwenye post lazima utaona amegongea watu "like". Hata mimi ndiye mtu anayeongoza kwa kunigongea like.

Congratualtion Mamndenyi kwa roho ya kitajiri.

Asante sana kwa kuniona. Barikiwa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom