Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,565
- 52,202
kweli kabisa.............siyo mchoyo.......ila mimi hajawahi kunigongea........................!
Sijakuona mkuu nitakugongea tu mida hii niko kwenye simu.
kweli kabisa.............siyo mchoyo.......ila mimi hajawahi kunigongea........................!
Nicky miss u too jamani! I hardly see u around.. Au umefichwa eh?
Sijakuona mkuu nitakugongea tu mida hii niko kwenye simu.
Labda ni macho yangu tu.......Lakini huyu Member maarufu sana kwenye Jukwaa hili na Mahusiano..hana uchoyo kabisa linapofika suala la kugonga likes.
Tembelea tembelea thread za watu kama atakuwa yupo hewani kwenye post lazima utaona amegongea watu "like". Hata mimi ndiye mtu anayeongoza kwa kunigongea like.
Congratualtion Mamndenyi kwa roho ya kitajiri.
Nakubaliana na wewe kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aiseee??Thank you kweli kutoa ni raha sana kwa wanaojua maana
Hata mimi nimeliona hilo nampa hongera sana Mamndenyi
Mimi nimekugongea kwa niaba yake
Asante sana kwa kuniona. Barikiwa mkuu.
nakubaliana na wewe inaonekana yuko powah sana ..hana hiana kumwaga likes
mi like Mamndenyi sana.
yupo juu kwa kweli, kama avatar yangu! aje huku nimgongee za kutosha! au nikupe kwa niaba?
kama nikweli mpeni hongera zake. lakini kabla ya yote ngoja nicheck profile ya Saint Ivuga kisha ndo tuendelee na maada hii. Hakuna kubahatisha hapa. Mia