Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,988
- 69,380
Nginjinginji fekeche krikinchi krankachaHuyu binti namkumbuka alivyokua C2C mtukwao,alikuwa wa 4 ukiambiwa now anasumbua wenzie huamini,nginjinginji kitu kimoja kibaya sana.
Nginjinginji fekeche krikinchi krankachaHuyu binti namkumbuka alivyokua C2C mtukwao,alikuwa wa 4 ukiambiwa now anasumbua wenzie huamini,nginjinginji kitu kimoja kibaya sana.
Ulihisi yupoje?Sikihisi Kama angekua hivi
sura ya kazi
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
Kwanini useme hakana sura nzuri?
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
Fetty liacha anamichongo yake mengine na alisema akiacha clouds awezi enda radio nyinginehv fetty kafukuzwa ama yuko wap
Kafanana na chibu
Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
hahahaha! eti nkrachakracha nimecheka mpaka basi.Nginjinginji fekeche krikinchi krankacha
Hahahahaha Mkuu Leo ndo Mara yako ya kwanza kuongea ishu serious. Siku zingine zote ni UPOPOMA tu. Hongera unaanza kujitahidiSasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
Hivyo ndivyo Mungu alivyomjaalia....!kwani FA alisema.Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
'Katamu' eeeh! sawa hongera.As in..!! ? under 18. Katamu sana kukasikiliza.
Cha redio.Anatangaza kipindi gan