Mammy Baby wa Clouds... What a Presenter.!!

Katoto kazur kweli sasa ruge asmmendee tena maaana hachelewag kuwamendeaa

Ila ea radio ndo alikua anafti vzr sana
 
6096fabb2842f6b659b5d2608d4cd76e.jpg

Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.
sura ya kazi
 
6096fabb2842f6b659b5d2608d4cd76e.jpg

Ndo huyo hapo. Anajitahidi Sana japo hakana sura nzuri ila kazi yake anaimudu vema.

Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
 
Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
Hahahahaha Mkuu Leo ndo Mara yako ya kwanza kuongea ishu serious. Siku zingine zote ni UPOPOMA tu. Hongera unaanza kujitahidi
 
Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.
Hivyo ndivyo Mungu alivyomjaalia....!kwani FA alisema.
"Mola anatoa punje punje anawapa wengine,hakutaka unyanyaswe na wala unyanyase watu wake,alichokupa mi hakunipa ni vyetu tutumie sote,ukikosa nusu inamaana umepata nusu,usiniulize anayo mpoki au Masanja we haikuhusu".......So usimpigie MAKOFI UTACHOKA MIKONO ITAUMA.
 
[QUDada "GENTAMYCINE, post: 16283038, member: 156632"]Sasa kwa hii Sura yake si bora tu niazime uzoefu wa kupiga " punyeto " kwa yule Waziri wa Congo? Ndiyo maana Wanawake wengine huwa tunafanya mapenzi na nyie huku Shingo zetu tukizielekezea Magharibi na Fikra zikibaki Ikweta! Halafu huyu nae utasikia kuna Mtu Kafa Kaoza juu yake.[/QUOTE]
We dada zako wazuri kiasi gani?
 
Kumbe ni Mammy wa Radio 5 ya Arusha aliyekuwa akitangaza na yule brazamen ktk kipindi flani hivi cha muziki!Dah huyo dada ana sauti moja amazing na adimu sana. Hapo hakuna presenter wa kike anayeweza kuukaribia uwezo wa huyo dada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom