Ziada Mwana
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 201
- 22
Kumbe kuenguliwa kwa baadhi ya wagombea wa BAVICHA kumetupa mwanga sana wa kutambua kuwa baadhi ya hawa wanaojifanya wafurukutwa/wakereketwa/walalahoi wa chadema ni mamluki. Kama kweli hata wakadiriki kuingia na visu, misumari, bisibisi na kila aina ya silaha ili kuwakabili "wapinzani" wao.
Tunao humuhumu JF na Dr Slaa amewasitiri kwa kuwaambia tu wameenguliwa kwa kukiuka maadili, ni yepi hayo? Kama sio hivyo visu? Wengine waliingia kichwakichwa kule Nyamongo na hata kudiriki kuvunja miiko ya kazi zao.
Kumbe ni "mamluki", mbona basi kupatikana na silaha kinyume cha sheria ni kosa la jinai na wala wasichukuliwe hatua za kisheria? Kama si ni watu wao CHADEMA? Na kwamba tu wanafunika kombe? Haya Dr Slaa endelea kuwatema hao akina ............
Tunao humuhumu JF na Dr Slaa amewasitiri kwa kuwaambia tu wameenguliwa kwa kukiuka maadili, ni yepi hayo? Kama sio hivyo visu? Wengine waliingia kichwakichwa kule Nyamongo na hata kudiriki kuvunja miiko ya kazi zao.
Kumbe ni "mamluki", mbona basi kupatikana na silaha kinyume cha sheria ni kosa la jinai na wala wasichukuliwe hatua za kisheria? Kama si ni watu wao CHADEMA? Na kwamba tu wanafunika kombe? Haya Dr Slaa endelea kuwatema hao akina ............