yutong
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 1,601
- 338
Utaratibu huu wa uteuzi wa makatibu wakuu wa wizara na viongozi wengine wa serikali uliopo sasa hivi unaturudisha nyuma sana. Yahani jinsi ilivyo sasa kila kitu kinasubiri maamuzi ya rais, kweli ni haki hii? kila kitu rais tu jamani? Ah amejirudinkia madaraka makubwa mno na hapo kweli kunahaja ya kurekebisha katiba yetu ili japo bunge ama waziri mkuu wawe na mamlaka zaidi ya rais hasa ktk uteuzi wa watendaji mbalimbali wa serikali. WanaJF mnasemaje hapo? Mnasadiki?