Mamlaka ya Hali ya Hewa yatoa tahadhari ya mvua kubwa...

Naskiia ni mkwara tu ili watu wazibue mitaro na wafanye usafi. pita Tandale uone watu wafanyavyo usafi
 
Naskiia ni mkwara tu ili watu wazibue mitaro na wafanye usafi. pita Tandale uone watu wafanyavyo usafi

Kama ni hivyo basi tahadhari hizo zitolewe kila baada ya miezi miwili ili wananchi wafanye usafi.
 
Taarifa za kitaalamu za hali ya hewa zisifanyiwe mzaha hata kidogo. Tutaumbuka endapo tutafikwa na janga tulilotahadhalishwa. Chukua hatua sasa. Na kama mvua haitakuwa ya kiasi kilichotabiliwa bado si kosa maana wao wanatoa taarifa kwa makisio tokana na vingezo vingi na kimoja au viwili vyaweza kuwa si kwa asilimia 100% siku hiyo.
 
Mzee wa upako kasema ikinyesha yy anaacha kazi yake ya kuwapa watu upako(uchungaji)
 
Haahh hah, kiimani mzee wa upako kesha maliza kazi hivyo msiogope.. Watashindanaaaa... lakin hawatashinda..!
 
Nimevuta picha hako kamsemo kamwisho halafu umenyanyua mkono hisia zake simchezo.
Haahh hah, kiimani mzee wa upako kesha maliza kazi hivyo msiogope.. Watashindanaaaa... lakin hawatashinda..!
 
Hao TMA wanatumika kisiasa. Hapa wanataka kuhalalisha zoezi lao la vunja vunja nyumba kando ya mto msimbazi.
 
hayaaaa huyu mzee waupako noma kweli!11 mbona hakutoa tamko lake kabla ya Mamlaka ya hali ya Hewa hajasema kuwa kutakuwa na mvua?Kwa nini awasubiri ndipo atoe utabiri wake? Mungu hajamwonyesha kabla?
 
Back
Top Bottom