Mamlaka ya hali ya hewa WHY?

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mara kwa mara nimekua nikiona makala maalum kuhusiana na Tsunami ya Japan tena ufafanuzi ukitolewa na mkurugenzi mkuu mwenyewe Dr Agness Kijazi, kupitia kituo cha TBCCM. Lakini mamlaka hii imekua ikishindwa kutoa utabiri sahihi kuhusu hali ya hewa hapa nchini sasa kwanini wanatumia nguvu nyingi kwa Tsunami ya Japan kuliko kujiimarisha wenyewe? Naomba muongozo kama hili swala tulijadiri au liko mahakamani. . . . .
 
Mara kwa mara nimekua nikiona makala maalum kuhusiana na Tsunami ya Japan tena ufafanuzi ukitolewa na mkurugenzi mkuu mwenyewe Dr Agness Kijazi, kupitia kituo cha TBCCM. Lakini mamlaka hii imekua ikishindwa kutoa utabiri sahihi kuhusu hali ya hewa hapa nchini sasa kwanini wanatumia nguvu nyingi kwa Tsunami ya Japan kuliko kujiimarisha wenyewe? Naomba muongozo kama hili swala tulijadiri au liko mahakamani. . . . .

Hili suala bado halijapelekwa mahakamani hivyo tunaweza kulijadili lakini Serikali na LUKUVI wakiona mnawagusa katika masilahi wataamua kulipeleka mahakamani ili kufunga watu midomo.

Mimi binafsi nilikuwa najiuliza jana baada ya zile taarifa kuhusu kuzama kkwa Meli "Hivi hali ya Hewa mamlaka wapo kutudanganya kwa yanayotokea Japan tu, mbona masuala ya Tanzania wanakuwa kimya na yakishatokea ndipo wanasema kulikuwa na Hali mbaya ya Hewa baharini!!!!!!"

Jana siku nzima kulkuwa na pepo kali sana maeneo ya DSM hasa karibu na bahari lakini Bi. Agness Kijazi hakuuona ingawa ulikuwa unapiga hadi ofcn kwake. Ule uliotokea Japan aliuona mapema na kutoa tahadhari ya uongo kuwa utafika pwani ya Tanzania.

Na hadi Home kwa mkuu wa kaya JK pale Magogoni bila shaka upepo mkali ulivuma na kurusha rusha majani na nguo walizoanika pale nje!!!!!!!!

Je, kuna umuhimu gani wa kuwa na mamlaka ya hali ya hewa hapa Tanzania kama wanashindwa kufanya kazi ipasayo????


Je, Bi. Agness Kijazi kweli ana uelewa na kazi wanayoifanya au wamepewa tu ofc pasipo kujua kusoma hali ya hewa???

Je kwa hili kwa nini Bi. Agness Kijazi asijiuzulu kazi kwani ameshindwa kutimiza wajibu???

Au ndio kulindana kunaendelea katika watendaji wa Serikali zetu.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Huwa inasikisha sana kwani huwa taarifa zao nyingi huwa ni baada ya tukio kutokea!
 
Back
Top Bottom