Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mara kwa mara nimekua nikiona makala maalum kuhusiana na Tsunami ya Japan tena ufafanuzi ukitolewa na mkurugenzi mkuu mwenyewe Dr Agness Kijazi, kupitia kituo cha TBCCM. Lakini mamlaka hii imekua ikishindwa kutoa utabiri sahihi kuhusu hali ya hewa hapa nchini sasa kwanini wanatumia nguvu nyingi kwa Tsunami ya Japan kuliko kujiimarisha wenyewe? Naomba muongozo kama hili swala tulijadiri au liko mahakamani. . . . .