tonge nyama
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 380
- 498
Hello bandugu!!
Nimepita facebook page ya TMA leo na nimekutana na taarifa ya uwezekano wa ongezeko la mvua katika baadhi ya mikoa katika siku mbili zijazo kuanzia kesho 01/11/2012. Kwa maelezo zaidi gonga Tanzania Meteorological Agency | Facebook
Nimepita facebook page ya TMA leo na nimekutana na taarifa ya uwezekano wa ongezeko la mvua katika baadhi ya mikoa katika siku mbili zijazo kuanzia kesho 01/11/2012. Kwa maelezo zaidi gonga Tanzania Meteorological Agency | Facebook