yusufummaka
Member
- Apr 7, 2012
- 30
- 20
Ajali ya meli ya Zanzibar iliyofyeka watu wetu wengi huenda ingezuiwa kama tungekuwa na kituo mahili cha hali ya hewa nchini. Maana siku ya ajali hata mtu asiyemtaalam wa hali ya hewa angeweza kujua kuwa kuna upepo mkali baharini