Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1][/h]Posted on March 25, 2012 by zanzibaryetu
Wazanzibari wakisikiliza viongozi wa Dini ya Kiislamu katika mhadhara uliofanyika katika viwanja vya Alabama Michenzani leo mhadhara ulioandaliwa na taasisi za kidini zilizopo Zanzibar kuzungumzia suala la mchakato wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wazanzibari wakisikiliza viongozi wa Dini ya Kiislamu katika mhadhara uliofanyika katika viwanja vya Alabama Michenzani leo mhadhara ulioandaliwa na taasisi za kidini zilizopo Zanzibar kuzungumzia suala la mchakato wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania