Mussa salumu
Member
- Feb 23, 2012
- 10
- 0
Mambo zenu? Mm ni mpya katika mtandao huu jaman so naomben kampani yenu
Mambo zenu? Mm ni mpya katika mtandao huu jaman so naomben kampani yenu
Karibu Mussa salumu, endelea kusoma hayo magazeti hapo, mie naenda kumwita Katavi akuje kukupa kinywaji.Mambo zenu? Mm ni mpya katika mtandao huu jaman so naomben kampani yenu
Kriibu Dogo, mbona unataka kuvua viatu ? Ingia na viatu vyako.
Veranda ndiyo hapo ulipo, mie huku nakochatia chumbani, msalani geuka kushoto kwako,
mwisho ukajitambulishe kwa mjumbe wa mtaa anaitwa Shongoko !
Hahahhaah hahaha,Mwambie aje kateremsha kaptura kabisa
Leo wagonjwa wengi
Kristapen nawachoma wakiwa wamesimama
Mwambie aje kateremsha kaptura kabisa
Leo wagonjwa wengi
Kristapen nawachoma wakiwa wamesimama
Mmemkaribisha kwa biti mpaka kakimbia masikini Musa wa watu lol...
Musa karibu dogo........hapa tuko babu zako, baba zako, kaka zako na dada zako na mama zako na wenzako pia!
teh teh teh tehKabla hujakaribia njoo uchezee hichi kilichoning'inia kwnye avatar yangu mpaka kitoe machozi.
MAPROSOO.
Mbona mnaemkaribisha yupo kimya, au bubu?