Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO?
HEBU TUJARIBU
Kwa babu watu wanaenda kujichora tu, hakuna hata mgonjwa mmoja aliwahi kuponea kule. Labda kama alienda kwa kuigiza tu ! Jaribuni kuwa wafuatiliaji wa mambo.View attachment 33549Jamani vipi kama wote tungekuwa tunapata diet kama hii kungekuwa na haja ya kwenda kwa BABU LOLIONDO? HEBU TUJARIBU