Mambo yanayoudhi humu jamvini

Sijazoea kwasababu sijapata mtu wa kunifanyia hivyo.
Nwy, ukishamuattack unadhani utapata nafuu?

ona sasa sijui na wewe hapa umeandika nini!huju kuwa hilo (coloured) ni kati ya yale yanayoudhi humu ndani!!
 
Kinachoniudhi mimi hapa JF ni baadhi ya watu kumuona J.K. Nyerere mtakatifu saaaaaana kiasi ambacho wengine hua wanakaribia ata kumpa sifa za uungu, na wengine hua wanadhani iwapo utamtaja kwa ubaya basi laana ya Mungu inaweza kukushukia na au eti huko kaburini aliko anapata habari!! Wacheni mawazo mgando kama haya, tambua hapa duniani Nyerere alikua binadamu sawa sawa na wewe na inawezekana huko aliko sasa wewe ukawa ni bora kuliko yeye.
PUNGUZA JAZBA MKUU...anachoamini mwenzako, hulazimishwi na wewe ukikubali.
 
naudhika saana pale napoona mtu anaaandika maneno ya hovyohovyo wakati
unakuta jambo ni serious kama ajali na mambo kama hayo
na wale wanaopenda kuanzisha sred za hovyohovyo za uongo
na wanaozushia wenzao vifo .wanaidhalilisha jf
natamani ningekuwa mod nifutilie kwa mbali mauongo yao
na ban juu kwwa kuanzisha upupu aghrrrrrrr
 
Kuna mamluki wamelipwa, wanataka kuigeuza JF kuwa genge la kihuni. Kumbukeni kwamba JF imeshatoa mchango mkubwa sana kwa jamii kwa kuibua kashfa nyingi ambazo zimetikisa anga nyingi za nchi hii. Mfano ni Richmond. Ilianzia HAPA! Tuweni macho na hawa wahuni! Wamelipwa na mafisadi!
 
naudhika saana pale napoona mtu anaaandika maneno ya hovyohovyo wakati
unakuta jambo ni serious kama ajali na mambo kama hayo
na wale wanaopenda kuanzisha sred za hovyohovyo za uongo
na wanaozushia wenzao vifo .wanaidhalilisha jf
natamani ningekuwa mod nifutilie kwa mbali mauongo yao
na ban juu kwwa kuanzisha upupu aghrrrrrrr
unakuta taarifaya ya kusikitisha ila wanaleta mzaha
 
Kuna mamluki wamelipwa, wanataka kuigeuza JF kuwa genge la kihuni. Kumbukeni kwamba JF imeshatoa mchango mkubwa sana kwa jamii kwa kuibua kashfa nyingi ambazo zimetikisa anga nyingi za nchi hii. Mfano ni Richmond. Ilianzia HAPA! Tuweni macho na hawa wahuni! Wamelipwa na mafisadi!
mkuu kama wapo watakuja tu kukata tamaa
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom