Mambo yanayoudhi humu jamvini

haya na mimi nitafsirieni hii BTW maana huwa linanipa shida kweli, sisi wengine kingereza chetu ni British Council.
 
kwa hilo jina na avatar yako
hauonekani kama wewe ni mtu wa kuuziwa,
au nimeona vibaya.
 
Namba 4 mie pia inanikera kupita maelezo, watu wanabana maneno utafikiri wanalipia...
 
kuna zile avatars za nyoka halafu mtu kaweka kiwembe kwenye jicho halafu jicho linatoa damu,dah kinanikera balaa


hapo hata mimi nakuunga mkono, i wish kama ungekuwa na option ya kuzuia kuona baadhi ya avatar za watu!!
 
c3ma,mm,cytaki,cyo mm,2onane,2chat


Hahahhaha....utaona 6taki,7bu,4toz,h8.....balaa. Ila kila afanyacho mtu ujue ndo hulka yake,mwingine anaanzisha thread si kweli kwamba tatizo ni lake labda ameanzisha tu watu mmpate pakupiga soga. Mwingine anaamua ku-criticize jinsia ya mtu kutokana na alichokiandika...Mwingine anatengeneza identity (mfano: na log off au nashut down) ili tujue hiyo ni signature ya fulan...ili mradi kila mtu anafanya anachojisikia na kinampa raha..
 
1.Mtu akipost thread hata kama ya msingi kuna baadhi ya members wanaigeuza kuwa genge la kunywa kahawa
mf:kupiga story tofauti na mada husika lengo la thread mpaka linapotea
2.Watu hawaheshimu mawazo ya watu;Mfano,ooh umepost upupu,unawaza kwa kutumia organ ya mwili,umetumwa e.t.c
3.Thread imenoga,jinsi unavyochangia ndo jinsi PM zinavyoingia mpaka browsing inaenda slow.
4.wengine wanatumia ufupisho wa ajabu mpaka unashindwa kuelewa,mf.sasa anaandika xaxa,sisi anaandika cc.
5.Huku ukieleza kuhusu facebook utapondwa ila 99% wanazo account za facebook.
6.Members wapya wanajua kila jukwaa,wanawajua members wa siku nyingi wanaochangia mada na mbinu za kuwafuatilia.
7.Mtu anapost thread halafu haonekani tena na hujui hata kama ameridhika na ushauri au majibu.
8.Watu wataponda kuhusu thread uliyopost but hawaachi kuchangia,kama wamelazimishwa vile kuponda wengine.
9.Kutafuta ban makusudi ili ujulikane humu

ongezea na mengine yanayokukera

Na 2 ina ukweli.
 
Hahahhaha....utaona 6taki,7bu,4toz,h8.....balaa. Ila kila afanyacho mtu ujue ndo hulka yake,mwingine anaanzisha thread si kweli kwamba tatizo ni lake labda ameanzisha tu watu mmpate pakupiga soga. Mwingine anaamua ku-criticize jinsia ya mtu kutokana na alichokiandika...Mwingine anatengeneza identity (mfano: na log off au nashut down) ili tujue hiyo ni signature ya fulan...ili mradi kila mtu anafanya anachojisikia na kinampa raha..
yaani ilimradi tu na yeye ameibua jambo flani
 
Back
Top Bottom