Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
safi sana hiyo kazi za chadema zinazofanyika Kigoma kaskazini,...Na kigoma nzima ambako nadhani wanaongoza halmashauri kwa kupkezana..,TARIME...ambako wana halmashauri...na kule KARATU ambako pia wanaongoza halmashauri ...wameonesha mfano......na wamekuwa chuo cha mafunzo kwa ccm.....tunaweza kuwaamini zaidi ndugu watanzania!
Watakuja hapa wa rangi ya kijani wakidai katekeleza Sera yao!! hawaishiwi maneno bana!:glasses-nerdy:
...tehee na mwanafunzi mwenyewe anafeli kila siku kwa (-ve)marks
Tusijenge tu.....bali tulinde tunachojenga kisije bomolewa
Yamefanyika katika jimbo lake akiwa Mbunge kwa kugharamiwa na Serikali, haina maana ni juhudi binafsi tusiwapotoshe wananchi.:confused2:
''je hii nayo ni aina ya rushwa ya viongozi kama mishahara ya wabunge''yamegaramiwa na serikali kutoka kodi za wananchi, na kazi yake ilikuwa kuiamsha, kuihamasisha na kuisimamia serikali itekeleze hayo:becky:
Yamefanyika katika jimbo lake akiwa Mbunge kwa kugharamiwa na Serikali, haina maana ni juhudi binafsi tusiwapotoshe wananchi.:confused2: